Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Instagram

JUA FAIDA ZA KUFANYA UWEKEZAJI KWENYE HISA ZA MAKAMPUNI

Picha
Mfanyabiashara na tajiri mkubwa Duniani Warren Buffett ambaye ni muwekezaji mkubwa aliwahi kusema “ kama hutajifunza namna ya kutengenenza fedha ukiwa umelala,jua utaendelea kufanya kazi mpaka kifo chako kikukute” . Pointi ya msingi ya Warren Buffett ilikua ni msisitizo juu ya umuhimu wa kufanya uwekezaji ambao unaweza kukuingizia mapato hata bila uwepo wako(passive income). Yaani umefanya uwekezaji watu wengine au system zinaendelea kukuingizia kipato bila hata wewe kuwepo eneo husika.  Fikiria umefanya uwekezaji halafu mwisho wa mwezi au mwisho wa mwaka pesa inaingia tu kwenye akaunti yako bila wewe kutumia nguvu kubwa na muda. Katika andiko hili tutaelezea aina mojawapo ya uwekezaji ambao unaweza kukuingizia mapato bila uwepo wako ingawa inahitaji nguvu na jitihada kubwa mwanzoni wakati wa kuwekeza. Tutaangalia nini maana,faida,na ugumu wa kuwekeza kwenye Hisa za makampuni. Na vilevile tutaona ni mambo gani ya msingi ya kuzingatia kabla hujawekeza katika Hisa. NINI MAANA YA HISA...
Picha
  SABABU 9 ZA KUZUIWA AKAUNTI YA KURUSHA TANGAZO LAKO KUKATALIWA MTANDAONI(FACEBOOK/INSTAGRAM) Mitandao ya kijamii imekua msaada mkubwa sana wa kuzikutanisha biashara na wateja mbalimbali hivi sasa. Kuna baadhi ya mitandao ya kijamii imekua maarufu sana siku hizi kwa ajili ya wafanyabiashara kutangaza bidhaa au huduma zao. Mitandao ya kijamii kama Instagram,Facebook,Tweeter na mingineyo imekua njia mojawapo ya pendwa sana ya kufanyia biashara.  Uzuri wa kutangaza biashara kupitia mitandao ya kijamii ni kuwa unakutana na watu wengi(audience) kwa gharama ndogo sana. Sasa ili uweze kufanya matangazo ya kulipia mitandaoni kama Facebook au Instagram utapaswa uwe na akaunti maalumu zilizo katika sifa ya kufanyia biashara(business account).  Na uzuri ni kwamba hata akauti yako ya kawaida ya Facebook au Instagram au tweeter unaweza ukaifanya ikawa na uwezo wa kufanya matangazo ya kulipia(business account) Unaweza pia ukafanya matangazo ya kulipia kupitia google au youtube ambapo ...